Address
304 North Cardinal St.
Dorchester Center, MA 02124
Work Hours
Monday to Friday: 7AM - 7PM
Weekend: 10AM - 5PM
Address
304 North Cardinal St.
Dorchester Center, MA 02124
Work Hours
Monday to Friday: 7AM - 7PM
Weekend: 10AM - 5PM
Wakenya sasa watafurahia aina tofauti za pesa za Hustler huku Rais Willaim Ruto Alhamisi akizindua awamu ya pili. Mkopo wa kikundi cha Hustler ulizinduliwa wakati wa sherehe za 60 za Madaraka Dei. “Nina furaha kutangaza kwamba wakati wa sherehe za…
•Maafisa wa polisi wangali wanapata maiti zilizotapakaa msituni baada ya zoezi la uchimbaji kusimamishwa ili kupisha uchunguzi wa maiti. •”Hatukuweza kubaini sababu za vifo vya miili 20 lakini miili kumi na miwili ilikuwa na dalili za njaa,” Oduor alisema. Mwili…
Mkuu wa Nchi alizungumza Jumatatu katika Ikulu ya Nairobi, alipomkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov. Kenya itaimarisha uhusiano wake na Urusi ili kuongeza kiwango cha biashara. Rais William Ruto alisema biashara kati ya nchi hizo mbili…
Waziri wa Mambo ya Ndani Kithure Kindiki Jumatano, alitoa wito wa kukaguliwa upya kwa masharti ya malipo ya wanahabari nchini. Akizungumza wakati wa kuadhimisha Siku ya Uhuru wa vyombo vya habari Duniani, Prof Kindiki alisema maelfu ya waandishi wa habari…
•Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja ametia sahihi mkataba wa maendeleo na Hill-Lewis ambaye ni meya wa Cape Town Afrika Kusini Jumanne 23. •Sakaja, ambaye kauli yake wakati wa kampeni ilikuwa “wacha tufaifanye Nairobi ifanye kazi”,amekuwa akiendeleza kauli hiyo hasa kwa …
• Mbunge huyo hakufurahishwa na mapendekezo ya hivi majuzi katika mswada wa fedha unliowasilishwa bungeni. • “Mimi mshahara wangu wote nimechukua mikopo utakata nini napata sifuri tu au unataka kuchukua mali yangu?” alilalamika. Mbunge wa Mumias Mashariki Peter Salasya amemkosoa…
Shirika la Reli la Kenya (KRC) limesitisha safari za huduma ya Reli ya Meter Gauge (MGR) kwa treni zinazofanya kazi kati ya Nakuru na Kisumu. Katika taarifa siku ya Alhamisi, KRC ilisema kuwa kusimamishwa kazi kumetekelezwa kutokana na mvua kubwa…
Ugandan President Yoweri Museveni on Monday signed into law a controversial anti-gay bill, his office and the country’s parliament said, introducing draconian measures against homosexuality that have been described as among the world’s harshest. Museveni “has assented to the Anti-Homosexuality…
In its latest report on the world’s most efficient ports, the World Bank has said that the port of Mombasa has been overtaken by Tanzania’s Dar es Salaam port posing a threat to Kenya’s economy. The report, the 2022 Container…