Category LOCAL NEWS

Ruto azindua awamu ya pili ya Hustler Fund

Wakenya sasa watafurahia aina tofauti za pesa za Hustler huku Rais Willaim Ruto Alhamisi akizindua awamu ya pili. Mkopo wa kikundi cha Hustler ulizinduliwa wakati wa sherehe za 60 za Madaraka Dei. “Nina furaha kutangaza kwamba wakati wa sherehe za…

Sakaja atia mkataba wa maendeleo na Afrika Kusini

•Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja ametia sahihi  mkataba wa maendeleo na Hill-Lewis ambaye ni meya wa Cape Town  Afrika Kusini Jumanne 23. •Sakaja, ambaye kauli yake wakati wa kampeni ilikuwa  “wacha tufaifanye  Nairobi ifanye kazi”,amekuwa akiendeleza kauli hiyo hasa kwa …